Kibodi Bsup89Aоtiпра p v lport6aL V Nn7th 93р li M
Kibodi ya kompyuta
Kibodi ya piano ya kisasa
Kibodi (kutoka Kiingereza: "keyboard") ni bao la kompyuta lenye vitufe vyenye maandishi na alama mbalimbali zinazotumika kucharazia au kuendeshea programu mbalimbali.
Kibodi ni pia sehemu ya chombo cha muziki k.v. piano, iliyo na vidude vyenye rangi vinavyobonyezwa ili kutoa sauti.
а 2.12Kk AaOIiS Fg Hто17Ss Uuo P X1рей